• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Meatu District Council
Meatu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Halmashauri ya Wilaya ya Meatu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Maono
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
        • Misitu
        • Wildlife Management
        • Ardhi
    • Vitengo
      • Ununuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
    • Mtaa
    • Vijiji
  • Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Town Planning and Environmental Committee
      • AIDS Control Committee
      • Ethics Committee
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti Wa Halmaashauri
  • Miradi
    • Maandiko ya Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
      • TASAF
      • LVEMP II
      • Uzalishaji wa Mbegu za Pamba
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • District Profile and Maps
    • Acts and Regulations
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Fomu
    • Taarifa
    • Circulars
    • Dokumbenti Mbali mbali
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
    • Hotuba

TEHAMA

Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano (TEHAMA)


Kitengo cha (TEHAMA) katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu ambacho ni muunganiko wa Kitengo cha IT na Uhusiano kinaongozwa na Sera ya TEHAMA (2003), na Sera ya Utangazaji Habari (2004) pamoja na mwongozo wa wakala wa serikali mtandao(eGA).

Ibara ya 18 yakatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaeleza kuwa

1) Bila ya kuathiri sheria ya nchi, na kutafuta,kupata na kueneza au kusambaza habari na mawazokupitia chombo cha habari chochote bila ya kujali mipaka ya taifa pia anayohakina uhuru wa kutoingiliwa na mawasiliano

2) Kila raia ana haki ya kupashwahabari wakati wote kuhusu matukio mbalimbali ya nchini na duniani kote yenyeumuhimu kwa maisha na shughuli za wananchi , pia kwa masuala yenye umuhimu kwajamii.

Majukumu ya Kitengo

  • Kuboresha Utendaji kazi na utoaji huduma kwa jamii kwa matumizi sahihi ya teknolojia ya habari na Mawasiliano.
  • Kuweka kumbukumbu na taratibu za kisasa na mbinu za kufanyia kazi,
  • Kutekeleza chati za mtiririko wa mifumo ya nyendo za taarifa na udhibiti,
  • Kufanya majaribio ya sehemu timilifu za program za Kompyuta
  • Kufanya majaribio ya usanidi wa mifumo ya TEHAMA ,
  • Kufanya majaribio ya program za Kompyuta kulingana na mahitaji ya watumiaji
  • Kusimamia Mifumo yote ya Halmashauri na ukarabati ikiwemo mifumo ya LGRCIS,EPICOR, FFARS, PlanREP,BEMIS,PREM nk.
  • Kutoa Mafunzo elekezi kwa Watumishi juu ya Matumizi ya mifumo ya TEHAMA.
  • kupokea na kuchapisha taarifa mbali mbali za miradi pamoja na shughuli za maendeleo kwenye tovuti ya Wilaya

HUDUMA

 
HUDUMA ZITOLEWAZO 
JINSI ZINAVYOPATIKANA 
1
Kutoa habari kwa Wananchi, taarifa za robo au mwaka kwa wananchi na wadau wa maendeleo kuhusu masuala yanayogusa jamii.
- Tovuti ya Halmashauri (www.meatudc.go.tz)
- Vipeperushi
- Barua pepe
- Magazeti, n.k.
2
Kusimamia ufikishwaji wa huduma za mawasiliano kwa wananchi
- kampuni za mawasiliano ya simu
3
Kusaidia jamii kuwa na weledi wa masuala ya mitandao na kuweza kujilinda dhidi ya mashambulizi.
- Tovuti ya Halmashauri
- Vipeperushi
- Semina na warsha.
4
Kutathimini na kusimamia viashiria vya hatari kuhusiana na miundombinu na mifumo ya TEHAMA
- Kuwasiliana na wataalam wa TEHAMA waliopo Halmashauri.
5
Miongozo  kuhusu mabadiliko ya njia za utoaji huduma mbalimbali za kielektroniki.
- Tovuti ya Halmashauri
- Matangazo
- Vipeperushi na semina.
6
Kusimamia mifumo ya kielektroniki ya usimamizi wa fedha, takwimu na ukusanyaji mapato ya ndani, takwimu, n.k.
- Benki
- Mitandao ya Epicor, LGRCiS, BEMIS, HCMIS, FFARS, SIS
- Mtandao wa intaneti
7
Kufanya usimikaji na uhuishaji wa programu za kompyuta, na matengenezo ya vifaa vya TEHAMA.
- Kufika Kitengo cha TEHAMA
- Kuwasiliana na wataalam wa TEHAMA kwa simu au barua pepe.
8
Kutoa ushauri kuhusu matumizi ya vifaa vya TEHAMA.


- Kufika Kitengo cha TEHAMA
- Kuwasiliana na wataalam wa TEHAMA

9 Kusimamia mifumo ya hifadhi ya Jamii - CHF iliyoboreshwa kuhakikisha kaya zinasajiliwa kwenye mfumo Kuwasiliana na maafisa waandikishaji ngazi ya vijiji, wafawidhi, waratibu au kufika Ofisi ya Kitengo cha TEHAMA





CHANGAMOTO ZA KITENGO

  • Uhaba wa watumishi – kwa sasa kitengo kina watumishi wawili ambao wanatoa msaada wa “IT” pamoja na kufanya shughuli za afisa habari
  • Kitengo hakina vifaa vya kutosha kufanyia kazi kama vile kamera.
  • Jamii ya Meatu bado ina mwamko mdogo wa teknolojia ya TEHAMA

Licha ya Kitego kuwa na changamoto zilizotajwa hapo juu, Kitengo kimefanikiwa kuwa na watumishi wawili 

Kitengo Kinaongozwa na

1. Ndg. Vicent Mapalala (Afisa TEHAMA)

    Simu 0762 326 992

    Barua pepel: vicent.mapala@meatudc.go.tz


2. Ndg. Linus R. James(Afisa TEHAMA)

    Simul: 0686 654 499

    Barua pepel: linus.james@meatudc.go.tz


Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MEATU 2021 December 18, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MEATU 2021 December 15, 2020
  • MICHORO YA MAJENGO YA AFYA February 10, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi Karibuni

  • Waziri Jafo awasilisha makadirio ya bajeti 2020/2021

    April 08, 2020
  • Benki ya NMB yaunga jitihada za kuboresha miundombinu ya Elimu Wilayani Meatu

    September 25, 2019
  • Wazalishaji wa chumvi Meatu wawezeshwa Mashine ya kuchanganya madini joto

    August 15, 2019
  • Meatu yaongeza mikakati ya kudhibiti changamoto ya uvamizi wa tembo

    June 09, 2019
  • Angalia zote

Video

Ziara ya Waheshimiwa mawaziri nane Wilaya ya Meatu kwa ajili ya kukusanya Maoni ya Kutatua Migogoro
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Miongozo Mbali mbali
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari
  • Dokumenti mbali mbali

Tovuti mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara ya Takwimu(NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu huria
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Meatu, Simiyu, Tanzania

    Anwani ya Posta: S.L.P 44

    Simu: 028 2795 008

    Simu ya Mkononi: 0622 404 712

    Barua Pepe: ded@meatudc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu . Haki Zote Zimehifadhiwa.